Mvua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali nchini zimesababisha uharibifu wa miundombinu ya barabara na kufanya magari ya abiria na mizigo kukwama mara kwa mara njiani kama yalivyokutwa magari haya Mavimba, Tarafa ya Lupiro, wilayani Ulanga mkoani Morogoro hivi karibun. (Na Mpigapicha Wetu).
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)






Chapisha Maoni