Mvua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali nchini zimesababisha uharibifu wa miundombinu ya barabara na kufanya magari ya abiria na mizigo kukwama mara kwa mara njiani kama yalivyokutwa magari haya Mavimba, Tarafa ya Lupiro, wilayani Ulanga mkoani Morogoro hivi karibun. (Na Mpigapicha Wetu).
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Chapisha Maoni

 
Top