Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) akijumuika na viongozi mbalimbali na Waislamu katika maziko ya aliyewahi kuwa Waziri katika Serikali hiyo, Mzee Taimur Saleh Juma katika makaburi ya Kianga Wilaya ya Magharibi “A” Unguja juzi. (Picha na Ikulu).
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)






Chapisha Maoni