Image result for wibonela busHabari tulizozipata hivi punde ni kwamba basi la Wibonela lililokuwa linatoka Dar es salaam kuelekea Kahama mkoani Shinyanga limegongana na basi la Takbir katika eneo la Kibaigwa mkoani Dodoma ambapo ujenzi wa barabara unaendelea.
Taarifa za awali zinasema watu kadhaa wamejeruhiwa.
Tutawaletea taarifa kamili hivi punde
KWAMATANGAZO YA BIASHARA KWAYA NYIMBO AINA ZOTE HABARI YEYOTE TUPIGIE   SASA KWA NUMBE,WHATSAPP FB //+255 623372368=+255768163863
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Chapisha Maoni

 
Top