Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, (IGP) Ernest Mangu akizungumza na waandishi wa habari akiwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi la Angola, Paulo de Almeida (kushoto) na Mkuu wa Jeshi la Polisi la Msumbiji, Paulo Chachine (kulia) wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Wakuu wa Polisi kutoka nchi za Kusini mwa Afrika (SARPCCO) uliofanyika jijini Arusha jana. (Picha na Hassan Mndeme, Jeshi la Polisi).
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)






Chapisha Maoni