TenesiHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionRoger Federer
Mshindi wa taji la Wimbedon Roger Federer amepanda kwenye viwango vya ubora wa mchezo huo kutoka nafasi ya tano mpaka nafasi ya tatu
Mwingereza Andy Murray anaendelea kuwa kinara katika nafasi ya kwanza, Rafael Nadali akifuatia katika nafasi ya pili, Novak Djokovic ni namba nne kwa ubora, huku Stan Wawrinka akiwa katika nafasi ya tano.
tenesiHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionKarolina Pliskova
Kwa upande wa wanawake Karolina Pliskova ndie kinara akifuatiwa na Simona Halep
Mjerumani Angelique Kerber yuko katika nafasi ya tatu na Johanna Konta akishika nafasi ya nne na Garbine Muguruza anakamilisha tano bora .

KWAMATANGAZO YA BIASHARA KWAYA NYIMBO AINA ZOTE HABARI YEYOTE TUPIGIE   SASA KWA NUMBE,WHATSAPP FB //+255 623372368=+255768163863

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Chapisha Maoni

 
Top