Latest

04:03 AM MMETHALI

Abedi akiwa na sanduku lake la nguo
Image captionAbedi akiwa na sanduku lake la nguo
Polisi wa Uingereza wanaochunguza mlipuko wa Manchester wametoa taswira mpya kuhusu mshambuliaji, Salman Abedi, aliyebeba sanduku la nguo la rangi ya bluu.
Wanafanya uchunguzi ili kupata taarifa zake na kujua mizunguko yake ya siku nne nyuma kabla ya shambulizi, na wanaamini ni mmiliki wa sanduku la hilo la nguo.
BBC pia imepata picha za CCTV zikimuonyesha Abedi akinunua chakula na kusafisha mazingira, siku moja kabla ya shambulizi.
Wanaume kumi na nne wako chini ya ulinzi wakihusishwa na shambulio hilo lililotokea wiki iliyopita.
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
30 May 2017

Chapisha Maoni

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top