Mtandao wa mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali (MBINGONET) wilayani humo umedai, kufilisika kwa benki hiyo kumesababishwa na viongozi. Umesema viongozi walikosa umakini katika kazi, usimamizi na utekelezaji wa majukumu.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni